Wednesday, August 14, 2013

R.I.P MR. GRESMOND BAMBAZA



Ndugu GRESMOND   BAMBAZA (BSW3)

Afariki dunia usiku wa kuamkia jana tarehe 14/08/2013 Ambaye aliwahi kuwa waziri mambo ya ndani na mahusiano ya club kwenye serikali ya Frank nkinda
Alikua akisumbuliwa muda kidogo, na aliangaika sana na ugonjwa..tatizo lilomsumbua ni vidonda kwenye koo alikua akishindwa kula vizuri na alikua akisumbuliwa na vidonda vya tumbo pia
leo wanasafirisha kwenda mkoani kagera maziko yatakua huko, taratibu za kuaga mwili wa marehemu zitakua nyumbani kwao kimara corner..

taarifa zaidi muda nk.. piga simu nambari 0713515264- YOHANA MABENA vice president.

inllah lilah wainla lilah rajiun

MUNGU ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon
AMIN.

Monday, August 5, 2013

JANGA kitaifa shule kukosa wanafunzi

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Azania, Dar es Salaam wakijisomea katika moja ya darasa la kidato cha tano jana. Picha na Venance Nestory 

Takwimu zilizotolewa juzi na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika sekondari za Serikali na vyuo vya ualimu mwaka huu zinasononesha na zimethibitisha pasipo kuacha shaka kwamba nchi yetu inaelekea kuzimu katika suala zima la elimu.
   Hatuhitaji kupiga ramli kujua kwamba Serikali isipochukua hatua stahiki haraka iwezekanavyo, hata mafanikio kiduchu tuliyokwisha kuyapata yatapotea na kuiacha sekta nzima ya elimu ikiwa mfu. Tunasema hivyo kutokana na takwimu za kutisha zilizotangazwa na wizara hiyo juzi kuonyesha kwamba kutakuwa na upungufu wa wanafunzi 10,074 wa kidato cha tano katika sekondari zinazomilikiwa na Serikali.
   Picha halisi ni mbaya zaidi kuliko

Sunday, August 4, 2013

THE INSTITUTE OF SOCIAL WORK

 

The Institute of Social Work (ISW) is one of the higher learning institutions in Tanzania. The Institute was established by the National Social Welfare Training Institute Act No. 26 of 1973 (as amended by the Miscellaneous Act No. 13 of 2002) herein referred to as the Act. The Institute was established to prepare qualified human resources for strengthening the social service delivery structure in Tanzania.
The Institute started operating in 1974 in rented buildings of the Tanzania Episcopal Council (TEC) at Kurasini Dar es Salaam before moving to the Institute' present premises at Kijitonyama, Dar es Salaam in 1978. The first programme was an Ordinary Diploma in Social Work, which was designed to address the manpower problem facing the Social Welfare Department. In 1977 the Institute began offering an Advanced Diploma in Social Work. This was necessitated by the need to meet social work professional standards. In 1982 the Institute introduced the certificate course in Labour Studies and later in 1990 an Advanced Diploma in Labour Studies was introduced. The purpose of the course was to train Labour Inspectors and Labour Administrators for the Labour Department
Further development was experienced in 2002 when the Institute introduced courses in Human Resources Management at Certificate and Advanced Diploma levels, and Postgraduate Diploma in Social Work. In 2004 Postgraduate Diploma in Law, Mediation and Arbitration was introduced. In 2006/07 the Institute introduced Bachelor Degrees (National Technical Award Level 8) and in 2007/08 Ordinary Diploma (National Technical Award Level 6) in all fields of study offered at the Institute. All training programmes offered by the Institute are competency based, aimed at equipping the trainees with requisite professional knowledge, skills and competence in their areas of specialization.

LINKwithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...